Pomponi wa Napoli
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Pomponi wa Napoli (alifariki 536) alikuwa askofu wa 21 wa Napoli, Italia Kusini anayesifiwa kwa kutetea imani sahihi dhidi ya Wagoti Waario waliotawala nchi.[1][2].
Pia alijenga kanisa kwa heshima ya Jina takatifu la Maria, Mama wa Mungu.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads