Prokaryota

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Prokaryota (kutoka Kigiriki πρό, pró, yaani 'kabla', na κάρυον, káruon, yaani 'kiini') ni kiumbehai asiyeonekana kwa macho tu ambaye kwa kawaida anaundwa na seli moja tu isiyo na kiini na vinginevyo vilivyomo ndani ya utegili na utando wake [1].

Kwa sasa viumbehai wa aina hiyo wanagawiwa katika domeni mbili: Bakteria na Archaea. Domeni ya tatu, Eukaryota, inaundwa na viumbehai wenye kiini.

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads