Prosdosimi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Prosdosimi
Remove ads

Prosdosimi (alifariki karne ya 2 hivi) alikuwa Mkristo mwenye asili ya Ugiriki ambaye anatajwa kama askofu wa kwanza wa Padua, Italia Kaskazini[1].

Thumb
Mt. Prosdosimi wa Padua

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 7 Novemba[2].

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads