Prospa wa Tarragona

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Prospa wa Tarragona (kwa Kikatalunya: Pròsper; karne ya 7 - Camogli[1][2], Italia Kaskazini, 718) alikuwa askofu mkuu wa Tarragona, nchini Hispania, ambaye mwaka 711 alipaswa kukimbia nchi yake kutokana na uvamizi wa Waarabu [3].

Tangu zamani anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 2 Septemba[4].

Tazama pia

Tanbihi

Vyanzo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads