Prospa wa Tarragona
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Prospa wa Tarragona (kwa Kikatalunya: Pròsper; karne ya 7 - Camogli[1][2], Italia Kaskazini, 718) alikuwa askofu mkuu wa Tarragona, nchini Hispania, ambaye mwaka 711 alipaswa kukimbia nchi yake kutokana na uvamizi wa Waarabu [3].
Tangu zamani anaheshimiwa kama mtakatifu.
Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 2 Septemba[4].
Tazama pia
Tanbihi
Vyanzo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads