Pujini

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Pujini ni kata ya Wilaya ya Chake Chake katika Mkoa wa Pemba Kusini, Tanzania.

Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...

Katika sensa iliyofanyika mwaka 2022 wakazi walihesabika kuwa 5,734 [1].Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2002, kata ilikuwa na wakazi wapatao 7,034 waishio humo. [2]

Remove ads

Historia

Kulikuwa mahali pa makazi ya Waswahili wa kale katika pwani ya Bahari ya Hindi. Kuna habari za mtawala mashuhuri katika ukanda wa Afrika ya Mashariki anayejulikanwa kwa jina la utani Mkama Ndume, lenye maana ya mkamua wanaume kwa Kiswahili cha zamani.

Tazama pia

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads