Querétaro (jimbo)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Querétaro (jimbo)
Remove ads

Querétaro ni moja kati ya majimbo 31 ya Mexiko upande wa kati ya nchi. Mji mkuu na mji mkubwa ni Querétaro.

Thumb
Kanisa Kuu la Querétaro
Thumb
Bendera ya Querétaro
Thumb
Mahali pa Querétaro katika Mexiko

Imepakana na San Luis Potosí, Guanajuato, Hidalgo, Mexico na Michoacán.

Jimbo lina wakazi wapatao 1,598,139 (2005) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 11,449.

Gavana wa jimbo ni Francisco Garrido Patrón.

Lugha rasmi ni Kihispania.

Remove ads

Miji Mikubwa

  1. Querétaro (596,450)
  2. San Juan del Río (120,984)
  3. Corregidora (104,218)
  4. Tequisquiapan (54,929)
Thumb
Piramidi za El Pueblito

Viungo vya Nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Mexiko bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Querétaro (jimbo) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads