Ranieri wa Forcona

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Ranieri wa Forcona (alifariki 30 Desemba 1077[1]) anakumbukwa kama askofu wa Forcona (Italia) aliyepongezwa na Papa Aleksanda II kwa utendaji wake[2], hasa uadilifu katika kusimamia mali [3].

Anaheshimiwa kama mtakatifu[4].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 30 Desemba.[5]

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads