Regulo wa Senlis

From Wikipedia, the free encyclopedia

Regulo wa Senlis
Remove ads

Regulo wa Senlis (kwa Kifaransa: Rieul; aliishi karne ya 4 BK) alikuwa askofu wa kwanza wa Senlis (leo nchini Ufaransa)[1].

Thumb
Mt. Regulo.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 30 Machi[2].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads