Rejinaldo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Rejinaldo (pia: Reginaldus, Réginald, Regnauld, Renaud, Rainaud[1]; karne ya 11 - 1103/1104[2]) kwanza alikuwa kanoni nchini Ufaransa, halafu akawa mkaapweke ili kushika vema zaidi amri za Bwana [3].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu. Heshima hiyo ilithibitishwa na Papa Pius IX tarehe 1 Oktoba 1868.

Sikukuu yake ni tarehe 17 Septemba[4].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads