Remi Isore

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remi Isore
Remove ads

Remi Isore, S.J. (Bambecque, 22 Januari 1852 - Wuyi 19 Juni 1900) alikuwa padri Mjesuiti kutoka Ufaransa aliyefia Ukristo akifanya umisionari nchini China wakati wa Uasi wa Waboksa.

Thumb
Picha yake halisi.
Thumb
Wafiadini Wakatoliki wa China.

Aliuawa pamoja na Modesti Andlauer wakiwa wanasali mbele ya altare[1].

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 9 Julai, lakini ya kwake mwenyewe tarehe 19 Juni[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads