Reparata
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Reparata (labda Kaisarea Baharini, Israeli, 235 hivi - 250 hivi[1]) alikuwa msichana bikira Mkristo aliyeteswa na kuuawa kwa ajili ya imani yake katika dhuluma ya Kaisari Decius[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakristo wa madhehebu mbalimbali kama mtakatifu mfiadini[3].
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads