Rich Mavoko

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Richard Martin Lusinga (Amezaliwa mnamo 26 Oktoba 1990), maarufu anayejulikana kama Rich Mavoko, ni mwimbaji pia mtunzi wa nyimbo kutoka nchini Tanzania. Hapo awali alisainiwa na (King Kaka Records) mnamo mwaka 2016, rekodi ya lebo iliyoanzishwa na rapa wa Kenya King Kaka, na baadaye kujiunga na kikundi cha WCB Wasafi.[1][2] Baadhi ya nyimbo zake zinazofahamika zaidi ni pamoja na Kokoro aliyomshirikisha msanii Diamond Platnumz, Rudi aliyomshirikisha Patoranking, Show Me aliyomshirikisha Harmonize, na Bad Boy akishirikiana AY. Mnamo mwaka 2020 alitoa E.P yake ya kwanza, MiniTape kama msanii wa kujitegemea.

Remove ads

Maisha yake

Anajulikana kwa kuwa faragha sana kuhusu maisha yake binafsi. Iliporipotiwa kuwa anatoka kimapenzi pamoja na msanii mwenzake wa Tanzania Lulu Diva mwaka 2020 aliziondoa haraka tetesi hizo.[3][4]

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads