Richard Chelimo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Richard Chelimo (21 Aprili 1972 – 15 Agosti 2001) alikuwa mwanariadha wa Kenya wa masafa marefu, na mshikilizi wa rekodi ya dunia zaidi ya mita 10,000. Hata hivyo, anajulikana zaidi kama mshindi wa medali ya fedha katika mbio zenye utata za 10,000m katika Michezo ya Olimpiki mwaka 1992 huko Barcelona. Pia alikuwa mshikilizi wa rekodi ya dunia katika mbio za mita 10,000.[1]
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads