Rika

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Rika ni kundi la watu katika jamii ambao wana umri uliokaribiana na hupitia pamoja mivigha au hatua za maisha.

Mifumo ya marika ilikuwa (na pengine bado) ni kawaida katika makabila mbalimbali ya Afrika Mashariki, kwa mfano Wanyakyusa, na Afrika Kusini, kwa mfano Wazulu. Mifumo hii ilitumiwa katika tohara, majeshi na utawala[1][2].

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads