Roland Brown
Mwanasheria Mkuu wa Tanzania From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Roland Brown alikuwa Mwingereza wa kwanza kuhudumu kama Mwanasheria Mkuu wa kwanza wa Tanganyika iliyokuja kuwa sehemu ya Tanzania baadaye.[1]

Maisha ya awali na taaluma
Brown alikuwa mkufunzi katika chuo cha Trinity College, Cambridge katika Chuo kikuu cha Cambridge, wakati wa harakati za uhuru wa Tanganyika; aliteuliwa kuwa mshauri mkuu wa Mwalimu Julius Nyerere.[2]
Tanzania
Mwaka 1961 aliteuliwa kuwa Mwanasheria mkuu wa kwanza baada ya uhuru wa Tanganyika.[3] Baada ya Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964 yaliyoangusha utawala wa kisultani, Brown aliteuliwa na Mwalimu Nyerere kuandaa hati ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.[4]
Mwaka 1965 alimaliza muda wake na nafasi yake ikachukuliwa na Mark Bomani.
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads