Rufo na Zosimo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Rufo na Zosimo
Remove ads

Rufo na Zosimo (waliuawa 107 hivi) walikuwa Wakristo waliofia dini yao kama walivyoandika kwanza Polikarpo[1], halafu Eusebi wa Kaisarea[2][3].

Thumb
Mt. Zosimo alivyochorwa.

Polikarpo, akiwaandikia Wakristo wa Filipi aliwaunganisha na Ignas wa Antiokia: «Hao walishiriki mateso ya Bwana wasipende ulimwengu huu, bali yule ambaye kwa ajili yao na kwa wote alikufa akafufuka»[4].

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 17 Oktoba[5].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads