Ruvu (Kibaha)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Kwa maana tofauti ya jina hili angalia Ruvu (maana)6.8084°S 38.6568°E / -6.8084; 38.6568


Ruvu ni kata ya Wilaya ya Kibaha Vijijini katika Mkoa wa Pwani, Tanzania, yenye postikodi namba 61205 .

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 4,111 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 3,466 [2] walioishi humo.

Kuna kituo cha reli ya SGR Tanzania.

Jina la kata linatokana na mto Ruvu (pwani) unaopita humo.

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads