Rwandan Patriotic Front

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Rwandan Patriotic Front (kifaransa: Front patriotique rwandais, FPR) ni chama tawala nchini Rwanda.[1]

RPF ilianzishwa mnamo Desemba 1987 na Watutsi wa Rwanda waliokuwa uhamishoni nchini Uganda kwa sababu ya ghasia za kikabila zilizotokea wakati wa Mapinduzi ya Wahutu Rwanda mwaka 1959-1962.[2][3] Mnamo 1990, RPF ilianzisha vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Rwanda katika jaribio la kupindua serikali, ambayo ilitawaliwa na Wahutu. Baadaye, mauaji ya halaiki ya Rwanda yalitokea ambayo yalimalizika tarehe 4 Julai kwa ushindi wa RPF wa nchi nzima. [4][5][6] Chama cha RPF kimetawala nchi tangu wakati huo kama taifa la chama kimoja, na kiongozi wake wa sasa, Paul Kagame, akawa rais wa Rwanda mwaka wa 2000, mpaka sasa.[7]

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads