Salima Jobrani

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Salima Jobrani (alizaliwa 25 Februari 1997) ni mchezaji wa mpira wa miguu nchini Tunisia. Salima alicheza mara ya mwisho kama golikipa wa klabu ya Al-Riyadh ya nchini Saudia na timu ya taifa ya wanawake ya Tunisia.[1]

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads