Samora Machel

From Wikipedia, the free encyclopedia

Samora Machel
Remove ads

Samora Moisés Machel (29 Septemba 1933 19 Oktoba 1986) alikuwa mwanamapinduzi, kiongozi wa kijeshi na mwanasiasa wa Msumbiji. Baada ya miaka ya vita ya kupigania uhuru wa nchi kutoka Ureno, alihudumu kama Rais wa kwanza wa Msumbiji kutoka uhuru wa nchi hiyo mnamo 1975.

Ukweli wa haraka 1st Rais wa Kwanza wa Msumbiji, aliyemfuata ...

Machel alikufa madarakani mnamo 1986 wakati ndege yake ilianguka karibu na mpaka wa Msumbiji - Afrika Kusini.

Remove ads

Tovuti nyingine

Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Samora Machel kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads