San Jose, California

From Wikipedia, the free encyclopedia

San Jose, California
Remove ads

San Jose (IPA: sænhoʊˈzeɪ) ni mji mkubwa wa jimbo la Kalifornia (Marekani) na pia mji mkubwa wa tatu jimboni. Iko kusini kabisa ya mji wa San Francisco.

Thumb
Mji wa San Jose, California
Ukweli wa haraka Nchi, Jimbo ...
Thumb

Idadi ya wakazi ni 989,496 na pamoja na rundiko la mji ni watu milioni saba.

Jina la San Jose ni la Kihispania, maana yake ni "Mtakatifu Yosefu". Jina lake linatokana na lile la misheni ya Ndugu Wadogo iliyoanzishwa kwa heshima ya mtakatifu huyo.


Remove ads

Viungo vya Nje

Ukweli wa haraka
Makala hii kuhusu maeneo ya California bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu San Jose, California kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads