Santilya

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Santilya ni kata ya Wilaya ya Mbeya Vijijini katika Mkoa wa Mbeya, Tanzania.

Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...

Katika sensa iliyofanyika mwaka 2022 wakazi walihesabika kuwa 17,624 [1]. Wakati wa wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 17,578 [2] walioishi humo.

Santilya ni kitovu cha Umalila na wenyeji asilia ni hasa Wamalila. Katika mazingira ya Santilya Jeshi la Wokovu lina wafuasi wengi kiasi. Kuna shule ya sekondari.

Msimbo wa posta ni 53211.

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads