Sarmata wa Thebe
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Sarmata wa Thebe (alifariki karne ya 4) alikuwa mwanafunzi wa Antoni Mkuu jangwani, halafu abati sehemu za Thebe (Misri) hadi alipouawa na Waarabu[1].
Anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi tangu zamani sana kama mtakatifu mfiadini.
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads