Sarmata wa Thebe

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Sarmata wa Thebe (alifariki karne ya 4) alikuwa mwanafunzi wa Antoni Mkuu jangwani, halafu abati sehemu za Thebe (Misri) hadi alipouawa na Waarabu[1].

Anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi tangu zamani sana kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake inaadhimishwa tarehe 11 Oktoba kila mwaka[2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads