Abati
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Abati (pia "abate") ni cheo cha mkuu wa monasteri yenye wamonaki wengiwengi (kwa kawaida 12 na zaidi) hasa katika Kanisa Katoliki.



Jina linatokana na Kilatini abbas, mkoko kutoka Kiaramu אבא (Abba, yaani "baba"). Kiongozi wa monasteri ya kike anaitwa pengine abesi.
Nchini Tanzania Wabenedikto wana maabati katima monasteri za Peramiho, Ndanda, Hanga na Mvimwa.
Maabati wachache wanapewa daraja takatifu ya askofu kwa kuwa monasteri yao ina jukumu la uchungaji kwa waamini wa eneo fulani (abasia ya kijimbo), kama ilivyokuwa kwa wale wa Peramiho na Ndanda wakati wa umisionari.
Remove ads
Marejeo
- Martina Wiech, Das Amt des Abtes im Konflikt: Studien zu den Auseinandersetzungen um Äbte früh- und hochmittelalterlicher Klöster unter besonderer Berücksichtigung des Bodenseegebiets., Schmitt, Siegburg 1999, 512 S. (= Bonner historische Forschungen; Bd. 59) (Diss. Bonn, 1999) ISBN 3-87710-206-9 (Kijerumani)
- Catholic Encyclopedia, Volume I. New York 1907, Robert Appleton Company. (Kiingereza)
- Nicolangelo D'Acunto (a cura di), Papato e monachesimo esente nei secoli centrali del Medioevo, Firenze University Press, p. 62. (Kiitalia)
Remove ads
Viungo vya nje
- Russian Orthodox Abbot of Valaam Monastery
- The Pilgrimage of the Russian Abbot Daniel in the Holy Land Ilihifadhiwa 9 Juni 2007 kwenye Wayback Machine.
![]() |
Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Abati kama historia yake, matokeo au athari zake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads