Abati

From Wikipedia, the free encyclopedia

Abati
Remove ads

Abati (pia "abate") ni cheo cha mkuu wa monasteri yenye wamonaki wengiwengi (kwa kawaida 12 na zaidi) hasa katika Kanisa Katoliki.

Thumb
Picha ya Kimisri ya Pakomi, mwanzilishi wa umonaki wa kijumuia.
Thumb
Benedikto wa Nursia, akishika bakora na kanuni yake (Münsterschwarzach, Ujerumani).
Thumb
Ngao ya abati asiye askofu, anayeongoza abasia ya kawaida. Ile ya abati anayeongoza abasia ya kijimbo ina kofia ya kijani.

Jina linatokana na Kilatini abbas, mkoko kutoka Kiaramu אבא (Abba, yaani "baba"). Kiongozi wa monasteri ya kike anaitwa pengine abesi.

Nchini Tanzania Wabenedikto wana maabati katima monasteri za Peramiho, Ndanda, Hanga na Mvimwa.

Maabati wachache wanapewa daraja takatifu ya askofu kwa kuwa monasteri yao ina jukumu la uchungaji kwa waamini wa eneo fulani (abasia ya kijimbo), kama ilivyokuwa kwa wale wa Peramiho na Ndanda wakati wa umisionari.

Remove ads

Marejeo

  • Martina Wiech, Das Amt des Abtes im Konflikt: Studien zu den Auseinandersetzungen um Äbte früh- und hochmittelalterlicher Klöster unter besonderer Berücksichtigung des Bodenseegebiets., Schmitt, Siegburg 1999, 512 S. (= Bonner historische Forschungen; Bd. 59) (Diss. Bonn, 1999) ISBN 3-87710-206-9 (Kijerumani)
  • Catholic Encyclopedia, Volume I. New York 1907, Robert Appleton Company. (Kiingereza)
  • Nicolangelo D'Acunto (a cura di), Papato e monachesimo esente nei secoli centrali del Medioevo, Firenze University Press, p. 62. (Kiitalia)
Remove ads

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Abati kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads