Sean Paul

From Wikipedia, the free encyclopedia

Sean Paul
Remove ads

Sean Paul Ryan Francis Henriques[1][2] (alizaliwa 9 Januari 1973) ni mwimbaji na rapa wa reggae na dancehall kutoka Jamaika. Albamu ya kwanza ya Paul, Stage One, ilitolewa mwaka 2000. Alipata umaarufu wa kimataifa na albamu yake ya pili ya Dutty Rock, mwaka 2002. Wimbo wake Get Busy uliongoza chati ya Billboard Hot 100 nchini Marekani, kama ilivyokuwa na nyimbo ya Temperature, kutoka katika albamu yake ya tatu inayoitwa The Trinity ya mwaka 2005.[3][4]

Thumb
Paul mwaka 2023
Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads