Sebastiani mfiadini

From Wikipedia, the free encyclopedia

Sebastiani mfiadini
Remove ads

Sebastiani mfiadini (alifariki Roma, Italia, 288 hivi) alikuwa Mkristo aliyeuawa wakati wa dhuluma ya kaisari Diocletian dhidi ya imani hiyo.

Thumb
Kifodini cha Mt. Sebastiani kilivyochorwa na Il Sodoma, 1525 hivi.

Mzaliwa wa Milano, Ambrosi anaeleza kwamba alifika Roma wakati dhuluma ilipokuwa kali akapatwa nayo akajishindia makao ya milele [1].

Tangu kale[2] anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Wa kwanza wanaadhimisha sikukuu yake tarehe 20 Januari[3], wa pili tarehe 18 Desemba.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads