Selemani Jumanne Zedi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Selemani Jumanne Zedi ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Bukene kwa mwaka 20152020. [1]

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads