Selemani Said Bungara

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Selemani Said Bungara (amezaliwa 18 Novemba 1961) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Wananchi au Civic United Front (CUF). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Kilwa Kusini kwa mwaka 20152020. [1]

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads