Serati
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Serati (pia: Cerat, Ciratus, Ceretius, Ceratus, Ceras, Gerase; alifariki 450 hivi) alikuwa askofu wa Grenoble katika Burgundy, leo nchini Ufaransa, kwa miaka kumi, akidumisha imani sahihi kati ya waumini wake dhidi ya Uario wa wavamizi wa nchi ile [1].
Kutokana na msimamo huo, alimshukuru Papa Leo I kwa barua aliyomtumia Patriarki Flaviani wa Konstantinopoli.
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu. Heshima hiyo ilithibitishwa na Papa Pius X tarehe 9 Desemba 1903.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads