Useremala

From Wikipedia, the free encyclopedia

Useremala
Remove ads
Remove ads

Useremala (kutoka neno la Kiajemi na la Kiarabu) ni aina ya ufundi ambao kimapokeo uilitegemea mbao, lakini siku hizi hata vitu vingine kama metali hutumika[1]. [2].

Thumb
Vifaa vya kimapokeo vya seremala, Makumbusho ya Cervo, Liguria, Italia.
Thumb
Maseremala kazini katika kijiji cha India.
Thumb
Tabaka la maseremala huko Panjab, India (1825)
Thumb
Kanisa la mbao la karne ya 17 nchini Russia.
Thumb
Maseremala wa leo kazini.

Seremala hutengeneza vitu mbalimbali kama vile masanduku ya kumwagia zege, milango na madirisha na fremu zake, samani, makabati n.k.

Mara nyingi mtu anajifunza kazi hiyo kwa kusaidia seremala stadi, lakini siku hizi kuna vyuo vingi vinavyofundisha fani hiyo.

Hata upande wa vifaa, badala ya vile vinavyotegemea nguvu ya mikono kama randa, siku hizi wengi wanatumia mashine kama msumeno wa mnyororo maalumu ya kuchania, kunyoosha, kupogoa, kurandia n.k.

Remove ads

Tanbihi

Loading content...

Viungo vya nje

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads