Severo wa Auch

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Severo wa Auch (karne ya 5 - 502 hivi) alikuwa padri wa Akwitania, leo nchini Ufaransa, aliyetumia mali zake kusaidia maskini na kujenga makanisa mbalimbali [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 1 Agosti[2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads