Severo wa Barcelona

From Wikipedia, the free encyclopedia

Severo wa Barcelona
Remove ads

Severo wa Barcelona (alifariki Barcelona, Hispania, 304 hivi) alikuwa askofu ambaye inasemekana aliuawa kwa ajili ya imani ya Kikristo[1].

Thumb
Sanamu yake katika kanisa kuu la Barcelona, kazi ya Bartolomé Ordóñez, mwaka 1519.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 6 Novemba[2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads