Severo wa Barcelona
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Severo wa Barcelona (alifariki Barcelona, Hispania, 304 hivi) alikuwa askofu ambaye inasemekana aliuawa kwa ajili ya imani ya Kikristo[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads