Severo wa Viza
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Severo wa Viza (alifariki Viza, Tracia, katika Uturuki ya leo, 304 hivi) alikuwa Mkristo aliyeuawa kwa ajili ya imani yake wakati wa dhuluma ya makaisari Diokletian na Maximian.
Akitamani kufia dini, aliongoa akida Memno wa Viza ambaye, kisha kuteswa kikatili pamoja naye, alimtangulia kuuawa[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads