Severo wa Viza

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Severo wa Viza (alifariki Viza, Tracia, katika Uturuki ya leo, 304 hivi) alikuwa Mkristo aliyeuawa kwa ajili ya imani yake wakati wa dhuluma ya makaisari Diokletian na Maximian.

Akitamani kufia dini, aliongoa akida Memno wa Viza ambaye, kisha kuteswa kikatili pamoja naye, alimtangulia kuuawa[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 23 Julai[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads