Shabani Omari Shekilindi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Shabani Omari Shekilindi (amezaliwa 12 Novemba 1970) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Lushoto kwa mwaka 2015 – 2020. [1]
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads