Shabani Omari Shekilindi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Shabani Omari Shekilindi (amezaliwa 12 Novemba 1970) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Lushoto kwa mwaka 20152020. [1]

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads