Shamiani

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Shamiani ni kata ya Wilaya ya Mkoani katika Mkoa wa Pemba Kusini, Tanzania.

Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...

Katika sensa iliyofanyika mwaka 2022 wakazi walihesabika kuwa 1,264 [1].

Remove ads

Historia

Kulikuwa mahali pa makazi ya Waswahili wa kale katika pwani ya Bahari ya Hindi.

Kwa sasa ni eneo lililohifadhiwa la kihistoria lenye nyumba za magofu za Waswahili zilizochimbwa kutoka takriban karne ya 14 hadi ya 16[2][3].

Tazama pia

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads