Simetri
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Simetri (alifariki Roma, 159 hivi) alikuwa padri wa Roma ya Kale aliyeuawa kwa ajili ya imani yake chini ya kaisari Antoninus Pius [1].
Pamoja naye walizikwa wafiadini wengine 22[2].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakristo wa madhehebu mbalimbali kama mtakatifu mfiadini.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads