Sindolfi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Sindolfi wa Reims (Akwitania, karne ya 6 - Aussonce, karibu na Reims, Ufaransa, 600 hivi) alikuwa mkaapweke msituni aliyejulikana na Mungu tu [1].
Hata hivyo inasimuliwa kwamba aliwafafanulia Biblia watu wa jirani akapewa upadri.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads