Sirili wa Antiokia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Sirili wa Antiokia (alifariki Panonia, 306 hivi) alikuwa Patriarki wa Antiokia, leo nchini Uturuki, baada ya Timeo, kuanzia mwaka 280 hivi hadi 303 alipopelekwa uhamishoni Ulaya katika dhuluma ya kaisari Dioklesyano[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads