Sodoma

From Wikipedia, the free encyclopedia

Sodoma
Remove ads

Sodoma ulikuwa mji wa Bonde la Ufa kati ya Palestina na Yordani za leo.

Thumb
Kielelezo cha Sodoma na Gomora kadiri ya Hartmann Schedel, 1493. Mke wa Loti, katikati, ameshageuka nguzo ya chumvi.

Ni maarufu kutokana na jinsi ulivyoangamia kadiri ya Biblia na Kurani ambazo zinamzungumzia sana kama kielelezo cha dhambi, hasa ya ushoga.

Hata hivyo Yesu alisema miji isiyotubu kwa mahubiri na ishara zake itapatwa na adhabu kubwa zaidi.

Remove ads

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads