Sodoma
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Sodoma ulikuwa mji wa Bonde la Ufa kati ya Palestina na Yordani za leo.

Ni maarufu kutokana na jinsi ulivyoangamia kadiri ya Biblia na Kurani ambazo zinamzungumzia sana kama kielelezo cha dhambi, hasa ya ushoga.
Hata hivyo Yesu alisema miji isiyotubu kwa mahubiri na ishara zake itapatwa na adhabu kubwa zaidi.
Remove ads
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads