Sokode
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Sokode ni mji wa Togo katika Mkoa wa Kati.
Wakazi walikadiriwa kuwa 189,000 [1]. Wengi ni wa kabila la Wakotokoli, ambao wanaishi pamoja na Waislamu.
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads