Mlango wa Malakka

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mlango wa Malakka
Remove ads

Mlango wa Malakka ni mlangobahari kati ya Malaysia na kisiwa cha Sumatra (Indonesia) wenye urefu wa km 930. Unaunganisha Bahari Hindi na Bahari ya Uchina ambayo ni bahari ya kando ya Pasifiki.

Thumb
Mlango wa Malakka (mviringo mwekundu).
Thumb
Ramani yake.

Bandari muhimu zaidi ni Malakka (Malaysia) na Singapur.

Ni kati ya njia za bahari zinazotumiwa zaidi duniani. Kila siku meli 2,000 zinapitia humo, kwa jumla 20 - 25.5% ya biashara yote ya baharini inategemea mlangobahari huo.

Remove ads

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads