Supu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Supu
Remove ads

Supu (kutoka Kiingereza "soup") ni kimiminika kitamu kilichochanganywa na nyama au tambi, mboga za majani n.k.

Thumb
Aina ya supu kutoka China.

Katika supu baadhi ya watu huweka karoti, limao, wengine huweka pilipili na pia watu hulia na chapati n.k.

Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Supu kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads