Swithun Wells

From Wikipedia, the free encyclopedia

Swithun Wells
Remove ads

Swithun Wells (Otterbourne, Hampshire, Uingereza, 1536 hivi London, 10 Desemba 1591) alikuwa Mkristo wa Kanisa Katoliki ambaye aliuawa kwa kunyongwa kwa sababu alificha mapadri waliofanya utume nchini kinyume cha sheria[1].

Thumb
Sanamu ya Mt. Swithun.

Papa Paulo VI tarehe 25 Oktoba 1970 alimtangaza kuwa mtakatifu mfiadini pamoja na wenzake 39.

Sikukuu yake ni tarehe ya kifodini chake[2].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads