Tabaruku

From Wikipedia, the free encyclopedia

Tabaruku
Remove ads

Tabaruku ni utangulizi wa kitabu au kazi yoyote ile ya fasihi inayoandikwa na mwandishi mwenyewe.

Thumb
Tabaruku ya shairi la Milton kutoka kwa William Blake.

Insha nyingine yenye maudhui ya kitangulizi huandikwa na mtu, tofauti ni dibaji na huitangulia tabaruku ya mwandishi.

Tabaruku hukaribiana na shukrani kwa watu ambao walisaidia kazi ya fasihi.[1][2]

Tazama pia

Marejeo

Jisomee

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads