Tabaruku
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Tabaruku ni utangulizi wa kitabu au kazi yoyote ile ya fasihi inayoandikwa na mwandishi mwenyewe.

Insha nyingine yenye maudhui ya kitangulizi huandikwa na mtu, tofauti ni dibaji na huitangulia tabaruku ya mwandishi.
Tabaruku hukaribiana na shukrani kwa watu ambao walisaidia kazi ya fasihi.[1][2]
Tazama pia
- Dibaji
- Utangulizi
- Hitimisho
Marejeo
Jisomee
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads