Tabasco (jimbo)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Tabasco (jimbo)
Remove ads

Tabasco ni moja kati ya majimbo 31 ya Mexiko upande wa kusini wa nchi. Imepakana na Veracruz, Chiapas, Campeche na nchi ya Guatemala.

Thumb
Bendera ya Tabasco
Thumb
Mahali pa Tabasco katika Mexiko

Tabasco inahesabiwa kuwa sehemu ya shingo ya nchi ya Tehuantepec. Upande wa kaskazini ni pwani ya hori ya Campeche

Jimbo lina wakazi wapatao 1,989,969 (2005) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 25,267.

Lugha rasmi ni Kihispania.

Mji mkuu na mji mkubwa ni Villahermosa (kwa Kihispania: kitongoji sheshe).

Gavana wa jimbo ni Andrés Rafael Granier.

Remove ads

Miji Mikubwa

Thumb
Tabasco.
Thumb
Comalcalco
  1. Villahermosa (658,524)
  2. Cárdenas (79,875)
  3. Teapa (49,262)

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Mexiko bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Tabasco (jimbo) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads