Tadayo Liu Ruiting
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Tadayo Liu Ruiting (Qunglai, 1773 hivi - Quxiyan 30 Novemba 1823) alikuwa padri wa China aliyenyongwa na watu waliochukia imani ya Ukristo [1].

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu mfiadini mwaka 2000.
Sikukuu yake na ya wenzake 119 huadhimishwa tarehe 9 Julai, ila ya kwake mwenyewe ni tarehe ya kifodini chake[2].
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads