Takaba
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Takaba ni mji mdogo ulioko kaskazini mashariki mwa Kenya.
Wakati wa sensa ya mwaka 2019 ulikuwa na wakazi 21,517[1].
Pia ni kata ya kaunti ya Mandera, eneo bunge la Mandera Magharibi[2].
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads