Takaba

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Takaba ni mji mdogo ulioko kaskazini mashariki mwa Kenya.

Wakati wa sensa ya mwaka 2019 ulikuwa na wakazi 21,517[1].

Pia ni kata ya kaunti ya Mandera, eneo bunge la Mandera Magharibi[2].

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads