Tandu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Tandu
Remove ads
Remove ads

Tandu ni aina za arithropodi wembamba na warefu katika ngeli Chilopoda ya nusufaila Myriapoda wenye miguu mingi. Wanafanana kijuujuu na majongoo lakini hawa huenda polepole na hula dutu ya viumbehai, viani na kuvu. Tandu huenda mbio na hula wanyama wengine (invertebrati na vertebrati). Hata kama tandu huitwa centipedes (miguu mia) kwa Kiingereza na majongoo huitwa millipedes (miguu elfu), kwa ukweli wana kwa kadiri nambari sawa ya miguu: tandu wana miguu 16 hadi 300 na majongoo 36 hadi 750.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Remove ads

Spishi kadhaa za Afrika

Remove ads

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads