Tanka
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Tanka (pia: Tanche; aliishi Troyes, Ufaransa akafariki huko 637 hivi) alikuwa bikira aliyetetea hali hiyo dhidi ya mshawishi hadi akauawa naye kwa kukatwa kichwa [1][2].

Tangu kale[3] anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads