Tchenzema
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Tchenzema ni kata ya Wilaya ya Mvomero katika Mkoa wa Morogoro, Tanzania, yenye Postikodi namba 67316.
Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 3,964 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 11,229 [2] walioishi humo, wakiwemo hasa Waluguru.
Upande wa dini, wengi wao ni Wakristo wa Kanisa Katoliki.
Watu wa Tchenzema wamejikita zaidi kwenye kilimo.
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads